Dibaji ya Mswahili
Thursday, July 6, 2017
Wednesday, July 5, 2017
Fans wetu karibuni
Follow this link to join my WhatsApp group: https://chat.whatsapp.com/CaOINubZoRT5Vl0WpIF6v6
Casting Group
Follow this link to join my WhatsApp group: https://chat.whatsapp.com/2RzPvYXPgWzLaPdHxn8O1D
Tuesday, January 26, 2016
Friday, January 8, 2016
Sauti ya mfungwa huishia mwambani mwa ukuta wa jera
matamanio ya kuona ukijani wa mimea hupumbazwa na harufu mbaya ya mikojo iliyo
katika debe la mafuta ya kupikia lililofanywa kuwa ni hifadhi ya najisi..
Mswahili ni mtu safi mpenda hakim taka maendeleo mwenye
imani na nchi yake mpigania haki za watoto, mtafutaji wa fulsa kwa kina mama,
mtokomezaji wa umasikini unaotokana na ufisadi, uvivu na unyonyaji lakin
mswhili mtu wa kwanza duniani kukataa shibe ya rushwa amekula CHANJO YA RUSHWA
hayupo tayaari kupeleka upeo wake katka jicho la maiti lililo baki na
kumbukumbu za maiti ya mwenziwe aliekuwa akifa kwa mateso ya kupigania haki
yake..
Nakumbuka ujio wako nyumbani kwetu ulihamasisha mengi
tukaamini kuwa hapa ni mahali fasaha lakin leo hatujutii maamuzi klwa kuwa
tumetaka wenyewe acha tuisome hii namba kama ni tutaelewa nibni kusudio lako
basi hatutaraumu lakn wapi tuelekee tunajua unafanya kutusaidia lakini mbona
hii mitaa ipo kisheria maana huku tulikuwa na serikali yetu…
Mwaka umeanza hiyari zetu tumezibeba na lazima zetu tunazo
kwani hakuna wa kumuachia ingawa bado hatujajua tutaanza na kipi kati ya hiyari
na lazima…
NAWATAKIA KHERI YA MWAKA MPYA
UKOMBOZI TEGEMEO LA MTU MWEUSI
UCHUMI KILIO CHETU
ELIMU BUREEEE
KULALA NJE
Saturday, November 28, 2015
Subscribe to:
Posts (Atom)